1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.10.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S26 Oktoba 2017

Uchaguzi utarudiwa tarehe 28 mwezi huu katika maeneo manne ya Nyanza kutokana na machafuko ambayo yalitokea// Kiongozi wa jimbo la uhispania linalopigania kujitenga la Catalonia, Carles Puigdemont anapanga kuitisha uchaguzi haraka// Serikali ya Burundi imeidhinisha marekebisho ya katiba ambayo yatatoa fursa ya kurefushwa kwa uongozi wa Rais Pierre Nkurunzinza.

https://p.dw.com/p/2mZqt