Mkutano wa kilele wa viongozi wa mataifa 7 yaliyoendelea duniani unaanza hii leo katika mji wa Taormina nchini Italia// Wanasiasa Uingereza wanarejea katika harakati za kampeni leo huku suala la usalama wa kitaifa likiwa juu kwenye ajenda// Rais wa serikali ya visiwa vya Komoro Azali Azali Assouman ametimiza mwaka mmoja madarakani.