Ni mwaka mmoja tokea kufanyika kwa uchaguzi uliyomuingiza madarakani Rais John Magufuli nchini Tanzania// Viongozi wasiopungua 80 wa makampuni mashuhuri ya Afrika Kusini wanataka madai ya udanganyifu dhidi ya waziri wa fedha Pravin Gordhan yafutiliwe mbali// Mzozo wa wakimbizi unazidi kuwa mbaya duniani. Nchini Ujerumani misaada ya kifedha kwa ajili ya wakimbizi inapungua.