1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.05.2018 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S25 Mei 2018

Katika mkutano wa dharura ulioitishwa mjini Vienna, Austria, Iran imesema itajitoa katika makubaliano ya nyuklia na nchi zenye nguvu duniani// Jeshi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo linasema limewaua zaidi ya waasi ishirini katika mapambano na kundi la ADF.

https://p.dw.com/p/2yLKU