1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.10.2016 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S24 Oktoba 2016

Ufaransa imeanza kuwaondoa wahamiaji waliopo katika kambi ya Calais kwa lengo la kuifunga kambi hiyo ya porini// Wapiganaji wa kikosi cha Kikurdi - Peshmerga pamoja na vikosi vya Iraq vimesonga mbele kuukaribia mji wa Mosul// Chaguzi za kuwania umeya wa Halmashauri za Manispaa za Kinondoni na Ubungo, jijini Dar es Salaam, Tanzania jana ziligubikwa na mabishano ya kikanuni na sheria.

https://p.dw.com/p/2RcZb