Mkutano wa kimataifa chini ya Umoja wa Mataifa utakao jadili biashara ya pembe za ndovu unatarajiwa kuanza leo katika mji wa Johannesburg nchini Afrika Kusini/ Kesho Jumapili Somalia inaingia katika uchaguzi wa bunge na baraza la seneti/ Washington: Uzinduzi wa jengo la makumbusho ya historia ya wamarekani wenye asili ya kiafrika/ Siku ya kupambana na maradhi ya kichaa cha mbwa