Rais Wa Marekani Donald Trump amekuatana na kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis// China imechukua msimamo tofauti kabisa na Marekani kuhusu Korea Kaskazini ikisema hakuna sababu ya kukataa kufanya mdahalo na Korea Kaskazini licha ya msururu wa majaribio ya makombora yaliyokosolewa na baraza la usalama la Umoja wa Mataifa.