Polisi mjini Toronto wamemtambua dereva aliyewauwa watu 10 pale alipo liendesha gari lake kwa kudhamiria na kuwagonga watu hao waliokuwa wanatembea kandoni mwa barabara// Trump na Macron walikutana ana kwa ana kwa muda wa nusu saa//Viongozi wa Kenya na wadau mbali mbali wanakutana kwa kipindi cha wiki moja kuanzia leo kujadiliana kwa kina mpango wa maendeleo katika serikali za ugatuzi.