Zaidi ya watu 100 wamefariki nchini Ufilipino kufuatia kimbunga.//Urusi imeionya Marekani ikisema kuipa Ukraine silaha hatari itaweza kusababisha umwagikaji wa damu.// Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amchagua mkuu wa majeshi wa zamani Constantino Chiwenga kuwa naibu wake katika chama, hiyo ikiwa hatua ya kwanza kwake kuwa makamu wa rais