Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robet Mugabe, pamoja na mke wake, Grace Mugabe, wataruhusiwa kuishi nchini humo bila kushitakiwa makosa waliyoyafanya// Serikali ya Rwanda imethibitisha kuwa imo kwenye mazungumzo ya kina na serikali ya Israel kuhusu kuwapokea wahamiaji wa kiafrika ambao Israel inataka kuwafukuza nchini humo.