Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesema hafurahii kabisa uwezekano wa kufa kwa ushirikiano wa biashara baina ya nchi za Ulaya na Marekani - TPP// Ufaransa sasa imeitisha mkutano wa nchi ambazo zinaunga mkono upinzani nchini Syria ikiwemo Marekani na mataifa ya ghuba// Bunge la Umoja wa Ulaya linatarajiwa hapo kesho Alhamisi kupiga kura ya kuahirisha mazungumzo ya Uturuki kujiunga na umoja huo.