1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.07.2017 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

Sudi Mnette
23 Julai 2017

Vurugu zinaendelea mjini Jerusalem baada ya Wapalestina wawili kuuwawa, Rais Donald Trump wa Marekani adai ana mamlaka kamili ya kusamehe na kujisamehe na Serikali ya Syria hapo jana imetangaza kusitisha mapigano katika moja kati ya ngome ya mwisho ya waasi karibu na Damascus

https://p.dw.com/p/2h1FK