1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.03.2017 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S23 Machi 2017

Kumetokea mvutano mkubwa baina aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo nchini Tanzania Nape Nnauye na maofisa wa polisi// Kundi linalojiita Dola la Kiislamu IS limedai kuhusika na shambulio la kigaidi la mjini London// Kenya na Somalia zimeafikiana kushirikiana katika nyanja za usalama, elimu na miundombinu ili kuleta amani na maendeleo katika nchi hizo mbili.

https://p.dw.com/p/2ZqXr