Chama kikuu cha mrengo wa kati kushoto nchini Ujerumani kimepuuza shinikizo la kuamua haraka nani atashindana na kansela Angela Merkel uchaguzi mkuu utakapoitishwa mwakani// Magaidi wa Boko Haram wanapoteza udhibiti nchini Nigeria// Licha ya uzuri uliomo wa mitandao ya kijamii, kumezuka kiwango kikubwa cha matusi na kashfa katika kile kinachoitwa Cyber Bullying.