1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.06.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S22 Juni 2017

Huko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, wapiganaji wa kundi la maimai wameushambulia mji wa Beni pamoja na viunga vyake asubuhi ya leo.// Hali ya mauaji katika wilaya ya Kibiti mkoa wa pwani huko Tanzania inaonekana kuendelea na walengwa hasa wakiwa ni askari polisi// Nchini Iraq, Kundi linalojiita Dola la Kiislamu, IS, limeuharibu msikiti wa kihistoria wa karne ya 12 wa al-Nuri ulioko Mosul.

https://p.dw.com/p/2fAsb