Shirika la kimataifa la haki za binaadamu, Amnesty International, limesema mwaka 2016 ulikuwa mwaka mbaya katika suala zima la haki za binaadamu// Utawala wa rais wa Marekani Trump, umetangaza amri mpya juu ya wahamiaji haramu// Baraza la mawaziri la serikali ya Ujerumani leo linaijadili sheria itakayowapa mamlaka maafisa kuzinasaa simu na mawasiliano ya kompyuta ya wanaoomba hifadhi ya ukimbizi.