Kutokana na China kuamua kutoagiza tena makaa ya mawe kutoka Korea ya Kaskazini hatua hiyo ni sawa kuipiga gongo la kichwa nchi hiyo jiranio// Hali ya wagiriki inazidi kuwa mbaya licha ya miaka saba ya kudhaminiwa na wafadhili// Kiwango cha nishati kinachotumika kwa sasa barani Ulaya ni kidogo ikilinganishwa na kiwango kilichokuwa kikitumika miaka ya 1990.