1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.09.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S21 Septemba 2017

Tume huru ya mipaka na uchaguzi nchini Kenya IEBC imesema marudio ya Uchaguzi wa rais yatafanyika tarehe 26 mwezi Oktoba// Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma kwa mara ya kwanza amezungumzia tukio la kushambuliwa kwa mbunge wa Chadema Jimbo la Singida Mashariki, Tundu Lissu// Kila mwaka siku ya kimataifa ya amani duniani inaadhimishwa siku kama ya leo tarehe 21 Septemba.

https://p.dw.com/p/2kUNv