Serikali ya rais wa Marekani, Donald Trump, inaendelea na mipango yake ya kuandaa mkutano wa kihistoria wa nyuklia kati yake na Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong-Un //Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila ameifanyia mabadiliko sheria ya madini nchini humo