Polisi mjini nchini Ujerumani inasema kuna uwezekano shambulio lilikuwa la kigaidi// Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila hii leo ametangaza serikali mpya chini ya Waziri Mkuu Sam Badibanga// Malumbano ya Kisiasa yameingia katika bunge la taifa nchini Kenya leo.