Mkuu wa sera ya nje wa Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesema China na Ulaya wana jukumu na maslahi ya pamoja ya kuepusha vita kwenye rasi ya Korea// Wafugaji katika Manispaa ya Dodoma nchini Tanzania wamelalamikia vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa na Manispaa hiyo.