1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.05.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S19 Mei 2017

Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanapiga kura katika uchaguzi wa rais mpya unaokabiliwa na ushindani mkali// Mwendesha mashitaka mkuu wa Sweden, Marianne Ny, amesema siku ya Ijumaa kuwa amefanya uamuzi wa kuifuta kesi dhidi ya muanzilishi wa mtandao wa Wikileaks Julian Assange.

https://p.dw.com/p/2dGYl