Kulikuwa na msisimuko mkubwa sana barani Afrika wakati Brack Obama alipochaguliwa Rais wa Marekani mwaka 2008//Human Rights Watch- Wahamiaji na wakimbizi wenye ulemavu wamekuwa hawatambuliwi ipasavyo nchini Ugiriki// Takriban kampuni 40 kubwa duniani zimependekeza kuanzisha mpango utakaozingatia njia bora za kutunza mazingira kutokana na matumizi ya plastiki.