Serikali ya Kenya inapaswa kuwalinda wanasiasa wanawake dhidi ya unyanyasaji, vipigo na vitisho wakati huu ambapo taifa hilo linaelekea kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti// Rais Donald Trump anaendelea kukabiliwa na utata na kuzungukwa na kashfa mbalimbali// Wahamiaji wanatuma fedha nyingi zaidi katika nchi wanakotokea,kupita hata misaada ya maendeleo.