Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel, ''kiongozi wa dunia huru''// Zaidi ya watu milioni 20 barani Afrika wanaugua ugonjwa wa kisukari na idadi hiyo inakadiriwa kuongezeka hadi milioni 46 ifikapo mwaka 2040// Imani ya wafanyabiashara wakubwa kwa mitandao ya kijamii inazidi kuongezeka// Wakimbizi wengi kutoka Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kutoka nchi zingine wanaishi nchini Uganda.