Waziri mkuu wa Iraq Haider Al-Abadi ametangaza kuanza kwa operesheni iliyosubiriwa ya kuukomboa mji wa Mosul// Vyama vinavyounda muungano tawala Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na vyama vyengine vidogo vimekubaliana kuchelewesha uchaguzi wa mwezi ujao hadi Aprili mwaka 2018// Mawaziri wa ulinzi na wakuu wa majeshi ya nchi za Kanda ya Maziwa Makuu wamemaliza mkutano wao mjini Kinshasa.