1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.03.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S17 Machi 2017

Msemaji wa jeshi la polisi la Uganda Andrew Felix Kaweesi ameuawa// Kansela wa Ujerumani Angela Merkel anatarajiwa kukutana na rais wa Marekani Donald Trump kwa mara ya kwanza leo hii katika ikulu ya White House mjini Washington// Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani Rex Tillerson amema Sera ya uvumilivu wa kimkakati kwa Korea Kaskazini imefikia mwisho.

https://p.dw.com/p/2ZO8n