Kansela wa Ujerumani Angela Merkel anaelekea nchini Marekani Jumanne kukutana na rais Donald Trump// China na Saudi Arabia zimesaini mikataba yenye thamani ya mabilioni ya dola wakati Mfalme Salman wa Saudi Arabia mwenye umri wa miaka 81 akiwa ziarani nchini China//Zanzibar hatimaye imepata uanachama kamili katika shirikisho la soka barani Afrika, CAF.