Viongozi wa mataifa ya Ulaya ya Mashariki wameendelea kukaidi mpango wa mgawanyo wa idadi ya wakimbizi ambao unaungwa mkono na mataifa ya Umoja wa Ulaya// Muungano mkuu wa upinzani nchini Kenya-NASA, unapanga kurejea katika ulingo wa siasa kwa nguvu zaidi// Kansela wa Ujerumani ametangazwa mshindi wa tuzo ya kimataifa ya kupigania usawa wa kijinsia iliyoanzishwa na serikali ya Finland.