Jeshi laingilia kati Zimbabwe ambako hali inatatanisha/ Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo: Maandamano/ Ripoti ya Muungano wa watetezi wa haki za binadamu nchini Kenya: Visa 42 vya unyanyasaji, vitisho na watu kufurushwa makwao kwa nguvu viliripotiwa dhidi ya wanaharakati, waangalizi wa uchaguzi, wanahabari/ Viongozi kadhaa wa dunia wanawasili mjini Bonn kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa mazingira