Wakati uchaguzi wa bunge nchini Uholanzi ukitarajiwa kukamilika saa tatu usiku wa leo, Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mark Rutte wa chama cha VVD ametajwa kuwa mbele// Milipuko kadhaa imetokea katika mji mkuu wa Syria Damascus leo huku vita vya Syria leo vikiingia mwaka wa saba// Rais Uhuru Kenyatta ametoa wito wa kupunguzwa kwa mishahara ya wabunge na maafisa wakuu serikalini.