1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.12.2017 Matangazo ya Asubuhi

V2 / S12S14 Desemba 2017

Mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Ushirikiano ya nchi za Kiislamu OIC umemalizika jana mjini Istanbul Uturuki pakitolewa tangazo la Palestina kama dola kamili na kuwa Jerusalem Mashariki unaokaliwa kimabavu ndiyo mji mkuu wake// Je Afrika imegeuka kuwa rafiki mkubwa wa Israel, kufuatia ziara iliyofanywa mwaka jana na waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu katika nchi 4 za bara hilo?

https://p.dw.com/p/2pLl8