1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.11.2016 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S14 Novemba 2016

Mawaziri wa masuala ya nje wa Umoja wa Ulaya leo hii wametafuta namna ya kuwa na msimamo wa pamoja, wakati ambapo wanajadili mahusiano ya umoja huo na Uturuki// Muungano wa vyama vya kihafidhina vya CDU na CSU umetangaza kumuunga mkono Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier, kuchukuwa nafasi ya Rais Joachim Gauck.

https://p.dw.com/p/2SgW0