Baada ya kisa cha kujinyonga Jaber al-Bakr katika jela polisi na wanasiasa wanajikuta wakizidi kutiwa vishindo// Buhari amesema hii leo kuwa serikali yake itaendelea kutafuta njia za kuwakomboa wasichana wa Chibok// Kikao cha viongozi waandamizi kutoka nchi 197 za ulimwengu kinachoendelea mjini Kigali Rwanda juu ya mabadiliko ya tabia nchi kinatazamiwa kukamilishwa baadaye jioni hii.