Polisi nchini Israel wanataka waziri mkuu Benjamin Netanyahu ashtakiwe lakini mwanasheria wake amesema mapendekezo ya polisi kuhusu mashtaka ya rushwa dhidi ya waziri mkuu huyo hayana msingi // Ni mwezi moja sasa tangu jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo lianzishe operesheni dhidi ya makundi ya waasi katika eneo la kaskazini mwa mkoa wa Kivu