Ujerumani-Merkel amependekeza kutoa fedha na vivutio vya elimu kwa watunisia watakaokuwa tayari kurudi kwa khiyari nchini mwao// Mgombea kiti cha rais wa Ufaransa kwa tikiti ya chama cha kihafidhina Les Republicains, Francois Fillon anatiwa kishindo na kundi la wabunge 40 wa chama chake// DR Congo-Zoezi la kuwaandikisha wapiga kura linaendelea katika mkoa wa KIVU ya Kaskazini.