Rais wa mamlaka ya ndani ya Palestina Mahmud Abbas amesema Wapalestina hawatakubali Marekani kuwa na jukumu lolote katika mchakato wa kutafuta amani katika Mzozo wa Mashariki ya Kati kwasababu Marekani inaipendelea Israel// Nchini Marekani, mwanasiasa wa chama cha Democratic nchini Marekani Doug (DAG) Jones, ameshinda katika kinyanganyiro cha kuwania kiti cha useneta katika jimbo la Alabama.