Mwishoni mwa mwezi Oktoba, Rais Donald Trump wa Marekani, aliondoa marufuku ya muda iliyokuwa imewekwa dhidi ya wakimbizi wanaoomba ruhusa ya kuingia nchini humo// Miili ya walinda amani Watanzania wa Umoja wa Mataifa waliouawa wiki iliyopita Katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imerejeshwa nyumbani na huku uchunguzi wa shambulizi hilo kali ukiendelea - ni nani anayestahili kulaumiwa?