Vikosi vya jeshi la Syria vimeuchukua tena mji wa pili kwa ukubwa nchini Syria wa Aleppo// Ujumbe wa Umoja wa Afrika, uko ziarani nchini Gambia, kwa lengo la kumshawishi Rais Yahya Jammeh akubali kuwa alishindwa katika uchaguzi wa Disemba Mosi// Shirika la afya duniani WHO limetoa ripoti yake ya mwaka kuhusu ugonjwa wa Malaria.