Wafadhili wanakutana mjini Geneva, Uswisi leo katika harakati za kuchangisha dola bilioni 1.7 kwa ajili ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo// Marekani bado haijafanya uamuzi wa mwisho kuhusu hatua itakayochukua dhidi ya Syria kufuatia madai kwamba ilifanya shambulizi la silaha za sumu.