Denmark imeungana na nchi kadhaa kuzuia juhudi za Uturuki kufanya kampeni kwenye nchi za Ulaya// Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwahudumia watoto UNICEF, limesema mamia ya watoto wameuawa nchini Syria kwa mwaka 2016// Na Urusi, Uturuki na Iran zinashinikiza kuendelea kwa awamu mpya ya mazungumzo ya amani ya Syria nchini Kazakhstan.