1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

12.12.2016 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S12 Desemba 2016

Kenya inaomboleza vifo vya zaidi ya watu 40 walioangamia kwenye ajali ya barabarani usiku wa kuamkia Jumapili, huku nchi hiyo ikiadhimisha miaka 53 ya Uhuru leo// Rais wa Gambia Yahya Jammeh amesema atakwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi// China hii leo imeelezea kutoridhishwa kwake na mapendekezo ya rais mteule wa Marekani Donald Trump.

https://p.dw.com/p/2U8Hn