Vyama viwili vya Palestina ambavyo vimekuwa katika mvutano na uhasama kwa kipindi cha muongo mmoja sasa, hatimaye vimefikia makubaliano ya amani, kufuatia mazungumzo ya kutafuta maridhiano na mshikamano// Baadhi ya mashirika ya kijamii yanaonya kuwa Kenya huenda inarejelea uongozi wa kidikteta kufuatia kile wanachokiita kugandamizwa kwa taasisi muhimu na serikali ya Jubilee.