1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

12.07.2017 Taarifa ya habari asubuhi

Bruce Amani
12 Julai 2017

Donald Trump Jr. amesema mkutano wake na wakili wa Urusi haukutoa habari zozote nyeti kumhusu Hillary Clinton // China imewapeleka wanajeshi watakaohudumu katika kambi yake ya kwanza ya kigeni nchini Djibouti // Na Marekani imetishia kumuwekea vikwazo yeyote atakayezuia uchaguzi wa rais katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

https://p.dw.com/p/2gNhc