Rais mteule wa Marekani Donald Trump na Rais wa sasa Barack Obama walikutana katika Ikulu ya Marekani White House// Ubalozi mdogo wa Ujerumani uliopo kwenye mji wa Mazar-i-Sharif, Kaskazini mwa Afghanistanwa washambuliwa na mabomu// Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma kwa mara nyingine tena amenusurika kura ya kutokuwa na imani nae.