1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.05.2017 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S11 Mei 2017

Rais wa Marekani Donald Trump amemfukuza kazi mkuu wa idara ya upelelezi nchini humo, FBI, James Comey// Siku ya Jumapili jimbo la North-Rhein Westphalia lililoko kaskazini mwa mto Rhine hapa Ujerumani, litakuwa linapiga kura ya mwisho ya majimbo, kabla uchaguzi mkuu wa mwezi Septemba.

https://p.dw.com/p/2cmMF