1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.01.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S11 Januari 2017

Rais Mteule wa Marekani Donald Trump hii leo amekumbana na madai mazito kuhusiana na taarifa zinazoweza kutumiwa vibaya dhidi yake// Upinzani nchini Kenya umezindua muungano mpya wa kisiasa utakaokabiliana na chama cha Jubilee katika uchaguzi mkuu ujao// Raia wanane wa Tanzania wanaendelea kuzuiliwa nchini Malawi kwa madai ya kuingia nchini humo bila kibali.

https://p.dw.com/p/2VdnH