1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.10.2016 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S10 Oktoba 2016

Polisi nchini Ujerumani wamemkamata mkimbizi wa Syria aliyukuwa akisakwa kwa tuhuma za kuandaa shambulio la kigaidi// Kansela Angela Merkel wa Ujerumani ameanza ziara yake barani Afrika// Nchini Kongo,Rais Joseph Kabila amekutana na viongozi wa vyama vinavyomuunga mkono//Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini yuko ziarani nchini Kenya// Leo Ulimwengu waadhimisha siku ya kimataifa ya magonjwa ya Akili.

https://p.dw.com/p/2R4k4