Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Ursula von der Leyen ataanzisha mageuzi katika jeshi la nchi hiyo, kufuatia ugunduzi wa mienendo ya kushabikia unazi miongoni mwa wanajesh// Rais wa Marekani Donald Trump jana amemfuta kazi Mkurugenzi wa shirika la upelelezi la Marekani FBI James Comey// Uturuki imepinga vikali uamuzi wa Marekani wa kutaka kuwapa silaha wapiganaji wa kundi la Kikurdi.