Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma leo anaanza ziara ya siku tatu nchini Tanzania akiwa amembatana na ujumbe wa wafanyabiashara 80 na wamawaziri wake sita// Mvua kubwa zimeendelea kunyesha katika pwani ya Afrika Mashariki na hata kusababisha vifo na hasara nyingi//Marekani na wengine wanahitimisha msako wao wa kimatifa dhidi yake na kundi lake la LRA.